HIZI NI PICHA ZA JURGEN KLOPP AKITUA AIRPORT NDANI YA LIVERPOOL
Hatimaye mambo yameshakuwa mazuri kwa Jurgen Klopp na hivi sasa 
ameshatua Liverpool tayari kwa ajili ya kukamilisha mambo ya awali na 
kutangazwa kesho kama kocha mpya.
Klopp amepigwa picha akiwa kwenye uwanja wa ndege Merseyside 
akiwasili kwenye ndege binafsi. Kocha huyo raia wa Ujerumani inasemekana
 atalipwa mshahara wa kiasi cha £4million kwa msimu.
Inategemewa kesho asubui saa 4, Liverpool itamtangaza kocha huyo kama kocha mkuu kwa kuanzia kesho.



Inategemewa kesho asubui saa 4, Liverpool itamtangaza kocha huyo kama kocha mkuu kwa kuanzia kesho.


No comments