Nicki Minaj Kafanya Maamuzi Magumu Yakumchagua Anayemtaka Kati Ya Meek Mill Na Drake? Majibu Yako Hapa!!
Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu 
kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake 
ambaye ni Drake au kukata mawasiliano naye kabisa ili kumfurahisha Meek 
Mill ambaye ni boy friend wake.
Kwa mujibu wa Hollywood Life Nicki Minaj
 amemchagua Meek Mill na amekata mawasiliano kabisa na rapa Drake ambaye
 wapo pamoja kwenye lebel moja ya Young Money.
Wawili hawana mawasiliano toka June 2015
 beef kati ya Meek na Drake lilipoanza. Pia mpaka sasa Minaj hajaonyesha
 kuwa anaikubali album ya Drake ya “Views From the 6.” hata kama 
kaisikiliza.



No comments